Friday, August 31, 2018

NHC KUJENGA NYUMBA 25 ZA WATUMISHI KILIMANJARO

Patrick Mwakasungura akisaini kitabu cha wageni wakati ujumbe wa NHC ulipowasili ofisini kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Mawenzi Mjini Moshi kwa ukaguzi wa maeneo yanayotarajiwa kujengwa nyumba za watumishi. 
Kaimu mkuu wa shule ya sekondari Mawenzi na Meneja wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Juma Kiaramba wakimsikiliza Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi Bw. Michael Mwandezi walipofika shuleni hapo kwa ukaguzi wa maeneo ya ujenzi. 
Kaimu mkuu wa shule ya sekondari Mawenzi na Meneja wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Juma Kiaramba wakimsikiliza Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi Bw. Michael Mwandezi walipofika shuleni hapo kwa ukaguzi wa maeneo ya ujenzi.   
Kikao cha pamoja kati ya maofisa wa NHC wakiongozwa na Patrick Mwakasungura na team ya Mkoa wa Kilimanjaro  wakiwa kwenye kikao na uongozi wa manispaa ya Moshi. 

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...