Patrick Mwakasungura akisaini kitabu cha wageni wakati ujumbe wa NHC ulipowasili ofisini kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Mawenzi Mjini Moshi kwa ukaguzi wa maeneo yanayotarajiwa kujengwa nyumba za watumishi.
Kaimu mkuu wa shule ya sekondari Mawenzi na Meneja wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Juma Kiaramba wakimsikiliza Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi Bw. Michael Mwandezi walipofika shuleni hapo kwa ukaguzi wa maeneo ya ujenzi.
Kaimu mkuu wa shule ya sekondari Mawenzi na Meneja wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Juma Kiaramba wakimsikiliza Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi Bw. Michael Mwandezi walipofika shuleni hapo kwa ukaguzi wa maeneo ya ujenzi.
Kikao cha pamoja kati ya maofisa wa NHC wakiongozwa na Patrick Mwakasungura na team ya Mkoa wa Kilimanjaro wakiwa kwenye kikao na uongozi wa manispaa ya Moshi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
2 comments:
golden goose sneakers
balenciaga sneakers
coach outlet
michael kors factory outlet
kyrie 6
golden goose outlet
yeezy 700
yeezys
curry 6
jordan store
replica bags pakistan replica bags qatar replica bags online shopping
Post a Comment