Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo ya Renald Kazoba wa Shirika la Nyumba Mtwara juu ya maendeleo ya ukamilishwaji wa ujenzi wa Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara, akiwa huko Waziri Lukuvi amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa kwa kukamilisha miradi mikubwa mitatu mkoani Mtwara kwa wakati na akalitaka Shirika kuendelea na kasi hiyo bila kuathiri rasilimali za Shirika. Kushoto anayeshuhudia ni Meneja wa NHC Mtwara, Angela Magazi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo ya Renald Kazoba wa Shirika la Nyumba Mtwara juu ya maendeleo ya ukamilishwaji wa ujenzi wa Jengo la Makazi eneo la Shangani Mtwara, akiwa huko Waziri Lukuvi amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa kwa kukamilisha miradi mikubwa mitatu mkoani Mtwara kwa wakati na akalitaka Shirika kuendelea na kasi hiyo bila kuathiri rasilimali za Shirika. Kulia anayeshuhudia ni Meneja wa NHC Mtwara, Angela Magazi.
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akikagua makabati ya nyumba za makazi za Shangani.
  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo ya Renald Kazoba wa Shirika la Nyumba Mtwara juu ya maendeleo ya ukamilishwaji wa ujenzi wa Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara, . Kushoto anayeshuhudia ni Meneja wa NHC Mtwara, Angela Magazi.
 Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.
  Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.
  Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.
  Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.
  Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa NHC Mtwara. akiwa huko Waziri Lukuvi amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa kwa kukamilisha miradi mikubwa mitatu mkoani Mtwara kwa wakati na akalitaka Shirika kuendelea na kasi hiyo bila kuathiri rasilimali za Shirika. 
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akikaribishwa na Meneja wa NHC Mtwara, Angela Magazi. akiwa huko Waziri Lukuvi amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa kwa kukamilisha miradi mikubwa mitatu mkoani Mtwara kwa wakati na akalitaka Shirika kuendelea na kasi hiyo bila kuathiri rasilimali za Shirika. 
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
- 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
 - 
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
 - 
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
 












No comments:
Post a Comment