Monday, July 09, 2018

WAZIRI LUKUVI ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI MIRADI MTWARA

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo ya Renald Kazoba wa Shirika la Nyumba Mtwara juu ya maendeleo ya ukamilishwaji wa ujenzi wa Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara, akiwa huko Waziri Lukuvi amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa kwa kukamilisha miradi mikubwa mitatu mkoani Mtwara kwa wakati na akalitaka Shirika kuendelea na kasi hiyo bila kuathiri rasilimali za Shirika. Kushoto anayeshuhudia ni Meneja wa NHC Mtwara, Angela Magazi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo ya Renald Kazoba wa Shirika la Nyumba Mtwara juu ya maendeleo ya ukamilishwaji wa ujenzi wa Jengo la Makazi eneo la Shangani Mtwara, akiwa huko Waziri Lukuvi amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa kwa kukamilisha miradi mikubwa mitatu mkoani Mtwara kwa wakati na akalitaka Shirika kuendelea na kasi hiyo bila kuathiri rasilimali za Shirika. Kulia anayeshuhudia ni Meneja wa NHC Mtwara, Angela Magazi.
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akikagua makabati ya nyumba za makazi za Shangani.
  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo ya Renald Kazoba wa Shirika la Nyumba Mtwara juu ya maendeleo ya ukamilishwaji wa ujenzi wa Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara, . Kushoto anayeshuhudia ni Meneja wa NHC Mtwara, Angela Magazi.
 Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.

  Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.
  Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.
  Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.
  Jengo la Biashara la RahaLeo Commercial Complex lililopo eneo la Rahaleo Mtwara.
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa NHC Mtwara. akiwa huko Waziri Lukuvi amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa kwa kukamilisha miradi mikubwa mitatu mkoani Mtwara kwa wakati na akalitaka Shirika kuendelea na kasi hiyo bila kuathiri rasilimali za Shirika. 
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Vangimembe Lukuvi akikaribishwa na Meneja wa NHC Mtwara, Angela Magazi. akiwa huko Waziri Lukuvi amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa kwa kukamilisha miradi mikubwa mitatu mkoani Mtwara kwa wakati na akalitaka Shirika kuendelea na kasi hiyo bila kuathiri rasilimali za Shirika. 

No comments: