Thursday, July 26, 2018

WAWEKEZAJI KUTOKA KOREA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA NYUMBA NCHINI

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akijadiliana na  Ujumbe wa Wataalamu wa Sekta ya Ujenzi na Nyumba waliokuwa katika ujumbe wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak-yon kuhusu fursa za uwekezaji katika Sekta ya Nyumba zilizopo nchini na namna nchi ya Korea inavyoweza kuwekeza katika sekta hiyo nchini. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Hazina na Uendelezaji Biashara, William Genya. Katika mazungumzo hayo wataalamu hao wameahidi kurejea nchini baadaye mwaka huu kuja na mkakati kamambe wa kuwekeza na Shirika la Nyumba la Taifa.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akijadiliana na  Ujumbe wa Wataalamu wa Sekta ya Ujenzi na Nyumba waliokuwa katika ujumbe wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak-yon kuhusu fursa za uwekezaji katika Sekta ya Nyumba zilizopo nchini na namna nchi ya Korea inavyoweza kuwekeza katika sekta hiyo nchini.

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Wataalamu wa Sekta ya Ujenzi na Nyumba waliokuwa katika ujumbe wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak-yon. Wa pili kushoto ni Joo Chang -Kon na Meneja Mkuu wa anayeshughulikia Biashara za Kimataifa Shirika la Nyumba la Korea, wengine ni Maafisa wa Uendelezaji Biashara wa NHC, Clara Lumbanga na Patrick Mwakasungungula Mkurugenzi wa Hazina na Uendelezaji Biashara, William Genya.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Wataalamu wa Sekta ya Ujenzi na Nyumba waliokuwa katika ujumbe wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak-yon. Wa pili kushoto ni Joo Chang -Kon na Meneja Mkuu wa anayeshughulikia Biashara za Kimataifa Shirika la Nyumba la Korea, wengine ni Maafisa wa Uendelezaji Biashara wa NHC, Clara Lumbanga na Patrick Mwakasungungula Mkurugenzi wa Hazina na Uendelezaji Biashara, William Genya..
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akijadiliana na  Ujumbe wa Wataalamu wa Sekta ya Ujenzi na Nyumba waliokuwa katika ujumbe wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea, Lee Nak-yon kuhusu fursa za uwekezaji katika Sekta ya Nyumba zilizopo nchini na namna nchi ya Korea inavyoweza kuwekeza katika sekta hiyo nchini. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Hazina na Uendelezaji Biashara, William Genya.

No comments: