Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angeline Mabula akiwasili katika ofisi za Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Lindi alipokuwa katika ziara ya siku mbili tar 5 - 6/06/ 2018 Mkoani Lindi akikagua mifumo ya kodi ya Ardhi katika Halmashauri za Mkoa wa Lindi.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi, Gibson Mwaigomole akitoa ripoti ya utekelezaji wa shughuli za Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi kwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angeline Mabula alipokuwa katika ziara ya siku mbili tar 5 - 6/06/ 2018 Mkoani Lindi ambapo pia alikagua mifumo ya kodi ya Ardhi katika Halmashauri za Mkoa wa Lindi.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi, Gibson Mwaigomole akikabidhi ripoti ya utekelezaji wa shughuli za Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi kwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angeline Mabula alipokuwa katika ziara ya siku mbili tar 5 - 6/06/ 2018 Mkoani Lindi ambapo pia alikagua mifumo ya kodi ya Ardhi katika Halmashauri za Mkoa wa Lindi.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi, Gibson Mwaigomole akitoa ripoti ya utekelezaji wa shughuli za Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi kwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angeline Mabula alipokuwa katika ziara ya siku mbili tar 5 - 6/06/ 2018 Mkoani Lindi ambapo pia alikagua mifumo ya kodi ya Ardhi katika Halmashauri za Mkoa wa Lindi.
Naibu Waziri wa Ardhi Mh.Angelina Mabula alipotembelea ofisi za NHC Lindi na kupokea taarifa fupi ya shughuli za shirika.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angeline Mabula akizungumza na wafanyakazi wa NHC katika ofisi za mkoa wa Lindi alipokuwa katika ziara ya siku mbili tar 5 - 6/06/ 2018 Mkoani Lindi akikagua mifumo ya kodi ya Ardhi katika Halmashauri za Mkoa wa Lindi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU ACHUKIZWA NA MIGOGORO YA ARDHI
Awasisitiza watendaji kuwafuata wananchi na kutatua kero zinazowakabili WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasisitiza Mawaziri, Wakuu wa M...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...






No comments:
Post a Comment