Friday, June 03, 2011

Ziara ya CCM Rukwa hebu cheki umati

Nape akisalimia wananchi , Kata ya Kabwe wilaya ya Nkasi baada ya kuwasili eneo hilo kwa ajili ya mkutano wa hadhara juzi.
Wananchi wa Kata ya Kabwe wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wakimshangilia Nape wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata hiyo. Picha za Bashir Nkoromo wa gazeti la Uhuru.

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...