Friday, June 03, 2011

Ziara ya CCM Rukwa hebu cheki umati

Nape akisalimia wananchi , Kata ya Kabwe wilaya ya Nkasi baada ya kuwasili eneo hilo kwa ajili ya mkutano wa hadhara juzi.
Wananchi wa Kata ya Kabwe wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wakimshangilia Nape wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata hiyo. Picha za Bashir Nkoromo wa gazeti la Uhuru.

No comments:

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...