Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
Dkt. Mohamed Janabi, Profesa wa magonjwa ya moyo na daktari binafsi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimhudumia mgonjwa Cameron Smith katika hospitali ya Medical University of South Carolina (MUSC). Nyuma yake ni Dr. Peter Zwerner, Profesa wa magonjwa ya moyo katika hopsitali hiyo. Dkt. Janabi ambaye ni Profesa wa MUSC alikuwa katika chuo hicho majuzi kwa mafunzo na ufundishaji wa muda katika hospitali hiyo. (Picha imetolewa na Ikulu, Dar es Salaam).
No comments:
Post a Comment