Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
Dkt. Mohamed Janabi, Profesa wa magonjwa ya moyo na daktari binafsi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimhudumia mgonjwa Cameron Smith katika hospitali ya Medical University of South Carolina (MUSC). Nyuma yake ni Dr. Peter Zwerner, Profesa wa magonjwa ya moyo katika hopsitali hiyo. Dkt. Janabi ambaye ni Profesa wa MUSC alikuwa katika chuo hicho majuzi kwa mafunzo na ufundishaji wa muda katika hospitali hiyo. (Picha imetolewa na Ikulu, Dar es Salaam).
No comments:
Post a Comment