Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI
Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
Dkt. Mohamed Janabi, Profesa wa magonjwa ya moyo na daktari binafsi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimhudumia mgonjwa Cameron Smith katika hospitali ya Medical University of South Carolina (MUSC). Nyuma yake ni Dr. Peter Zwerner, Profesa wa magonjwa ya moyo katika hopsitali hiyo. Dkt. Janabi ambaye ni Profesa wa MUSC alikuwa katika chuo hicho majuzi kwa mafunzo na ufundishaji wa muda katika hospitali hiyo. (Picha imetolewa na Ikulu, Dar es Salaam).
No comments:
Post a Comment