Wednesday, June 29, 2011

Ziara ya CCM mkoani Mtwara, Lindi

Nape akisisitiza jambo wakati akihutubia kwenye mkutano huo kwenye uwanja wa fisi. Picha zote za Bashir Nkoromo wa Nkoromo Daily Blog kwa
Habari zaidi waweza kubonya hapaUpate tukio hilo kwa kina.

Katibu wa Oganaizesheni CCM, Asha Abdallah Juma (kushoto) akishiriki kucheza ngoma ya kikundi cha uhamasihaji cha vijana wa Newala, baada ya msafara wake na Nape kuwasili mjini Newala, Juni 27, 2011
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akishiriki kucheza ngoma ya kikundi cha uhamasihaji cha vijana wa Newala, baada ya msafara wake kuwasili mjini Newala, Juni 27, 2011

No comments:

VIONGOZI NA WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA IBADA YA KUMUOMBEA HAYATI JOB NDUGAI – KONGWA

KONGWA – Viongozi wa kitaifa, wa kidini, pamoja na mamia ya wananchi wa Wilaya ya Kongwa na maeneo mengine nchini wamejitokeza kwa wingi leo...