Tuesday, June 28, 2011

Shaggy in the house


Wasichana wa kabila la kisukuma wakimkaribisha Shaggy katika viwanja vya Bujoro kabla ya kusimikwa kuwa chifu wa kabila hili.


Wasichana wa kabila la kisukuma wakimkaribisha Shaggy katika viwanja vya Bujoro kabla ya kusimikwa kuwa chifu wa kabila hili.
Chifu Mark Bomani akiteta jambo la Shaggy alipokuwa katika vwanja kwa Bujora ambapo kulikuwa na ngoma za msimu wa mavuno ambazo huchezwa ndani ya siku nane wakisherekea mafanikio ya mavuno.


Kutoka kushoto ni Shaggy akisaliiana na Mark Bomani mara baada ya kufika katika uwanja wa ndege wa jijijni Mwanza.

No comments:

RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...