Saturday, July 07, 2007

Visiwa vya Kome


Kibao kinaochoonyesha kuwa ni marufuku kuingia katika hifadhi iliyopo katika kisiwa cha Kome eneo la MChagani , lakini mbele yake kuna nyumba zinazotumiwa na wavuvi katika eneo hilo, kama kilivyonaswa na mdau Julius.

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...