Saturday, July 07, 2007

Visiwa vya Kome


Kibao kinaochoonyesha kuwa ni marufuku kuingia katika hifadhi iliyopo katika kisiwa cha Kome eneo la MChagani , lakini mbele yake kuna nyumba zinazotumiwa na wavuvi katika eneo hilo, kama kilivyonaswa na mdau Julius.

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...