Tuesday, July 03, 2007

Ilianza hivi



Mchungaji wa Kanisa la Kianglikana Dayosisi ya Central Tanganyika aliyesimamishwa kutoa huduma katika kanisa hilo,Elia Mbalaga akiwa mikononi mwa walinzi wa kampuni ya ulinzi ya Dodoma Security baada ya kutokea vurugu
katika ibada ya Kipaimara na kusimika wazee wa kanisa wa kanisa kuu la roho mtakatifu. Mchungaji huyo alipelekwa kituo cha polisi kwa ushirikiano na Askari Kanzu. Kanisa la DCT linakabiliwa na matatizo makubwa sana ikiwa ni pamoja baadhi ya waumini wanashinikiza Askofu Mdimi Mhogolo ajiuzulu kwa kile wanachodai kuwa anaunga mkono ushoga kwa kuendelea kupokea misaada toka kwa kanisa la Kianglikana la Marekani (ECUSA) Picha ya Michael Uledi.

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...