Wednesday, July 04, 2007

Mchungaji wa Kianglikana aliponaswa



Mchungaji wa Kanisa la Kianglikana Dayosisi ya Central Tanganyika aliyesimamishwa kutoa huduma katika kanisa hilo,Elia Mbalaga akiwa mikononi mwa walinzi wa kampuni ya ulinzi ya Dodoma Security baada ya kutokea vurugu
katika ibada ya Kipaimara na kusimika wazee wa kanisa wa kanisa kuu la roho mtakatifu. Picha ya Michael Uledi

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...