Shirika
la Nyumba la Taifa limeendelea kutekeleza ahadi yake ya kuunga mkono
uamuzi wa serikali wa kuhamia Dodoma kwa kujenga nyumba kwa ajili ya
watumishi wa serikali baada ya kuendelea na nyumba zingine 150 kati ya
300 lililojiwekea lengo la kuzikamilisha mapema
mwakani, pichani zinaonekana nyumba hizo za awamu ya pili zikiwa katika
awamu ya uezekaji.
Wednesday, September 19, 2018
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAPIGA HATUA UJENZI WA IYUMBU SATELITTE CITY II
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TARURA MUSOMA WAPONGEZWA UJENZI WA MIRADI KULINGANA NA THAMANI YA FEDHA
Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Ndugu Ismail Ali Ussi amewapongeza wafanyakazi wa TARURA wilaya ya Musoma kwa kufanya kazi kwa weledi n...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
v2u21s7b59 z6w12p8i31 y2a48k0l59 k4a23j6m59 o8u80f9w88 o9o28e5v14
Post a Comment