Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi ameagiza ujenzi wa Jengo la Paradise Commercial Complex ukamilike mapema kabla ya mwezi Novemba ili liweze kufunguliwa kwa matumizi ya ofisi na biashara mapema Desemba mwaka huu. Pia amesifu Shirika la Nyumba la Taifa kwa ujenzi wa jengo hilo kubwa na zuri la aina yake mkoani Katavi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI KABUDI AKUTANA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA MADOLA LONDON, UINGEREZA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Palamagamba Kabudi, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Commonwealth of Nations, Shirley Botc...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
1 comment:
see this here replica gucci bags useful site Ysl replica handbags find more info gucci replica bags
Post a Comment