Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi ameagiza ujenzi wa Jengo la Paradise Commercial Complex ukamilike mapema kabla ya mwezi Novemba ili liweze kufunguliwa kwa matumizi ya ofisi na biashara mapema Desemba mwaka huu. Pia amesifu Shirika la Nyumba la Taifa kwa ujenzi wa jengo hilo kubwa na zuri la aina yake mkoani Katavi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA APONGEZA MPANGO WA HEIDELBERG MATERIALS KUPANUA UWEKEZAJI NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea ujumbe wa Kampuni ya Heidelberg Materials, wazalishaj...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
1 comment:
see this here replica gucci bags useful site Ysl replica handbags find more info gucci replica bags
Post a Comment