Wednesday, September 19, 2018

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAPIGA HATUA UJENZI WA IYUMBU SATELITTE CITY II

Shirika la Nyumba la Taifa limeendelea kutekeleza ahadi yake ya kuunga mkono uamuzi wa serikali wa kuhamia Dodoma kwa kujenga nyumba kwa ajili ya watumishi wa serikali baada ya kuendelea na nyumba zingine 150 kati ya 300 lililojiwekea lengo la kuzikamilisha mapema mwakani, pichani zinaonekana nyumba hizo za awamu ya pili zikiwa katika awamu ya uezekaji.


Shirika la Nyumba la Taifa limeendelea kutekeleza ahadi yake ya kuunga mkono uamuzi wa serikali wa kuhamia Dodoma kwa kujenga nyumba kwa ajili ya watumishi wa serikali baada ya kuendelea na nyumba zingine 150 kati ya 300 lililojiwekea lengo la kuzikamilisha mapema mwakani, pichani zinaonekana nyumba hizo za awamu ya pili zikiwa katika awamu ya uezekaji.

1 comment:

shotee said...

v2u21s7b59 z6w12p8i31 y2a48k0l59 k4a23j6m59 o8u80f9w88 o9o28e5v14

VIONGOZI WAUNGANA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MHE. WILLIAM LUKUVI IRINGA

  Iringa, Machi 31, 2026 — Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili nyumbani kwa aliyekuwa Wazir...