Friday, January 12, 2018

SHEREHE YA MIAKA 54 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu, Mzee Ally Hassan Mwinyi. 


Makamu wa Rais, Bi Samia Suluhu Hassan (mwenye miwani), Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na viongozi wengine wakiwa kwenye hafla hiyo.


Rais Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Bi. Samia.


Mgeni Rasmi, Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein akiwasili Uwanja wa Amani kwa ajiri ya sherehe hiyo.


Dkt. Ali Mohammed Shein akikagua gwaride.


Moja ya majeshi yaliyokuwepo katika hafla hiyo.


Baadhi ya vijana waliofika uwanjani hapo wakipita na mabango mbele ya wageni.


Baadhi ya viongozi wa serikali waliohudhuria sherehe hiyo.


Dkt. Shein akiwslimia wananchi.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...