Monday, December 31, 2007

Nimerejea ndani ya nyumba

kwa takriban mwezi mzima mmekuwa hammpati taarifa motomoto, hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwez wetu na sasa tumerejea na habari kabambe tutazame katika blogu hii.

No comments:

TANZANIA NA MAREKANI KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MADINI

Dodoma Serikali ya Tanzania na  Marekani zimeendelea kuimarisha ushirikiano wa kikazi katika sekta ya madini, hususan kwenye utafiti wa kina...