Saturday, December 01, 2007

Miss china awa miss world 2007




Miss China wins Miss World 2007

Miss China Zhang Zilin pichani juu ameibuka mshindi wa Shindano la MissWorld lilomalizika hivi punde Sanya China, ambapo Mwakilishi kutoka TanzaniaRicha Adhia alitolewa kwenye mchakato huo kwenye kwenye hatua za kwanza kabisabila kugusa mzunguko wa pili Nafasi ya Pili imekwenda kwa Miss Angola na ya Tatu 3 Mexico. big up Haki Ngowi

SANYA, China (AFP) — Miss China won Miss World 2007 in Sanya, China, late on Saturday, much to the delight of a partisan audience.
Miss Angola came second and Miss Mexico third at the beauty pageant, held on the southern holiday island of Hainan, dubbed China's answer to Hawaii.
Two billion people in 200 countries were expected to tune in to watch the show, which saw Miss China take the crown ahead of 106 of the world's most beautiful and talented women.

1 comment:

Anonymous said...

hahhah mkuu tupo pamoja sanaa,,,
usijali kabisa..