MPIRA UMEKWISHA MATOKEO NI KILIMANJARO STAZ 2 NA HARAMBEE STAAZ 1
Kilimanjaro Staaz wameandika bao la pili kupitia kwa mshambuliaji Dan Mruanda dakika ya 88 baada ya kuwatoka mabeki wa harambee staaz na kufunga bao tamu sana. Kwa hiyo staaz inaongoza bao 2-1 na wakati huo huo mchezaji Amiri Maftaha amepewa kadi nyekundu kwa mchezo mbaya dhidi ya Samwel Ochieng dakika za lala salama.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
1 comment:
Mkuu pichaa za hao mahujaji na habari vipi nni kinaendelea mkubwa...
Post a Comment