Saturday, December 08, 2007

Kili Starzzz oyeeeee

MPIRA UMEKWISHA MATOKEO NI KILIMANJARO STAZ 2 NA HARAMBEE STAAZ 1

Kilimanjaro Staaz wameandika bao la pili kupitia kwa mshambuliaji Dan Mruanda dakika ya 88 baada ya kuwatoka mabeki wa harambee staaz na kufunga bao tamu sana. Kwa hiyo staaz inaongoza bao 2-1 na wakati huo huo mchezaji Amiri Maftaha amepewa kadi nyekundu kwa mchezo mbaya dhidi ya Samwel Ochieng dakika za lala salama.

1 comment:

Anonymous said...

Mkuu pichaa za hao mahujaji na habari vipi nni kinaendelea mkubwa...

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...