MPIRA UMEKWISHA MATOKEO NI KILIMANJARO STAZ 2 NA HARAMBEE STAAZ 1
Kilimanjaro Staaz wameandika bao la pili kupitia kwa mshambuliaji Dan Mruanda dakika ya 88 baada ya kuwatoka mabeki wa harambee staaz na kufunga bao tamu sana. Kwa hiyo staaz inaongoza bao 2-1 na wakati huo huo mchezaji Amiri Maftaha amepewa kadi nyekundu kwa mchezo mbaya dhidi ya Samwel Ochieng dakika za lala salama.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
1 comment:
Mkuu pichaa za hao mahujaji na habari vipi nni kinaendelea mkubwa...
Post a Comment