Friday, May 11, 2007

Habari mpyaaaaaaa

Taarifa zilizotufikia muda si mrefu ni kwamba mrembo wetu flaviana matata anazidi kung'ara huko Mexico kwenye mashindano ya miss universe! amekuwa mshindi wa tano ktk Miss Universe-Photogenic ambayo ni hatua nzuri sana! Wadau Votes ziendelee..tunaweza kukawa na Miss Universe Jamani! bofya hapo chini kwa zaidi hapa

1 comment:

Jr said...

nazitafuta picha za "MEE MORISI" nisaïdiyeni

Asanta

jr

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...