Friday, May 11, 2007

Habari mpyaaaaaaa

Taarifa zilizotufikia muda si mrefu ni kwamba mrembo wetu flaviana matata anazidi kung'ara huko Mexico kwenye mashindano ya miss universe! amekuwa mshindi wa tano ktk Miss Universe-Photogenic ambayo ni hatua nzuri sana! Wadau Votes ziendelee..tunaweza kukawa na Miss Universe Jamani! bofya hapo chini kwa zaidi hapa

1 comment:

Jr said...

nazitafuta picha za "MEE MORISI" nisaïdiyeni

Asanta

jr

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...