Thursday, March 29, 2007

Antena


Hizi antena zimeingia kwa kasi bongo moja inauzwa hadi 30,000. zinaona hizooo.

1 comment:

Anonymous said...

Hawa jamaa hizi antenna zao nimeshuhudia zinafanya kazi kinoma ingepaswa wapewe nyenzo na mitaji wangefanya maajabu tu.

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...