Monday, March 19, 2007

Watoto wa bongo

Watoto halisi wa bongo hawa wakiwa kwao.

2 comments:

mloyi said...

Watoto wa Tanzania wakiwa kwao, wanakubalika kwao? je tunawaendeleza kama wako kwao? tunawapa nafasi ya juu kwenye maisha yao?

Simon Kitururu said...

Kusema kweli wako kwao . lakini ingependeza kama wangejulishwa haki zao

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...