Monday, March 19, 2007

Watoto wa bongo

Watoto halisi wa bongo hawa wakiwa kwao.

2 comments:

mloyi said...

Watoto wa Tanzania wakiwa kwao, wanakubalika kwao? je tunawaendeleza kama wako kwao? tunawapa nafasi ya juu kwenye maisha yao?

Simon Kitururu said...

Kusema kweli wako kwao . lakini ingependeza kama wangejulishwa haki zao

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...