Thursday, March 29, 2007

Antena


Hizi antena zimeingia kwa kasi bongo moja inauzwa hadi 30,000. zinaona hizooo.

1 comment:

Anonymous said...

Hawa jamaa hizi antenna zao nimeshuhudia zinafanya kazi kinoma ingepaswa wapewe nyenzo na mitaji wangefanya maajabu tu.

Makamu wa Rais wa Tanzania Afika Addis Ababa Kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi

Addis Ababa, Ethiopia – 07 Septemba 2025 – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango , amewasili leo mjini Addi...