Wednesday, September 13, 2006
Hayawi hayawi sasa yamekuwa
Nasema kumekucha jogoo limekwishawika huku mwananchi tumeshaingia hewani jamani, kwa habari za kitaifa, kimataifa, biashara na michezo na makala zilizosadifiwa na kuandikwa na watu wenye fikrapevu, wenye upeo mpana sana katika maisha ya jamii ya kitanzania unaweza kutupata kwa kubonya hapa tupo katika majaribio na tutaanza rasmi muda si mrefu!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RC CHALAMILA ATOA SIKU SABA KWA MUAFAKA WA MGOGORO WA ARDHI TOANGOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, ametoa muda wa siku saba kwa wadau wanaohusika na mgogoro wa muda mrefu wa ardhi katik...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
6 comments:
Kaka,
Naona bado mambo hayajatulia au webmaster analeta gozigozi.Bado sijaweza kufungua hiki kiungo muhimu kwenye ulimwengu wa habari.
ni kweli kaka Jeff huyu webmaster jana kachomoa gazeti mtandaoni akidai eti bado lakini nadhani kuanzia Jumatatu mambo yatakuwa supa .
da!siku nyingi sijatembelea blog yako charahani...sitapotea tena...
karibu saaaana ndugu yangu maisha nipo hapa
Nashukuru sasa yamekuwa hivi bado mko pamoja na Express au?
Hapana Mzee Mwananchi ni Mwananchi tu . Ile ya zamani lilinunuliwa jina na sasa ni kampuni inayojitegemea inaitwa mwananchi communications LTD iko Tabata relini ni subsidiary ya Nation Media Group
Post a Comment