Tuesday, September 12, 2006
Mzee wa Sumo amerejeaaaa
Jamani nadhani kuna wale ambao mlikuwa mmeshaanza kukata tamaa nakumbuka rafiki yangu Jeff Msangi alisema amechoshwa kuingia mtandaoni na kukuta mipicha au makala za zamani, sasa Mzee wa Sumo karudi waka waka na mapicha kibaooo ya kila aina kuanzia yale ya kitaifa, kimataifa, michezo, burudani na hata mambo mengine utakayohitaji hebu mcheki kwa kubonya hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
1 comment:
Ahsante kwa taarifa hii ya kurejea kwa huyu bwana.Tuanze tena.
Post a Comment