Tuesday, September 12, 2006
Mzee wa Sumo amerejeaaaa
Jamani nadhani kuna wale ambao mlikuwa mmeshaanza kukata tamaa nakumbuka rafiki yangu Jeff Msangi alisema amechoshwa kuingia mtandaoni na kukuta mipicha au makala za zamani, sasa Mzee wa Sumo karudi waka waka na mapicha kibaooo ya kila aina kuanzia yale ya kitaifa, kimataifa, michezo, burudani na hata mambo mengine utakayohitaji hebu mcheki kwa kubonya hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Exploring the Depths of History: A Journey into Amboni Caves
By Our Correspondent, Tanga The air is thick with excitement as students from Alharamain High School in Dar es Salaam and Alfagems Seconda...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
Ahsante kwa taarifa hii ya kurejea kwa huyu bwana.Tuanze tena.
Post a Comment