Wednesday, September 13, 2006
Hayawi hayawi sasa yamekuwa
Nasema kumekucha jogoo limekwishawika huku mwananchi tumeshaingia hewani jamani, kwa habari za kitaifa, kimataifa, biashara na michezo na makala zilizosadifiwa na kuandikwa na watu wenye fikrapevu, wenye upeo mpana sana katika maisha ya jamii ya kitanzania unaweza kutupata kwa kubonya hapa tupo katika majaribio na tutaanza rasmi muda si mrefu!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
6 comments:
Kaka,
Naona bado mambo hayajatulia au webmaster analeta gozigozi.Bado sijaweza kufungua hiki kiungo muhimu kwenye ulimwengu wa habari.
ni kweli kaka Jeff huyu webmaster jana kachomoa gazeti mtandaoni akidai eti bado lakini nadhani kuanzia Jumatatu mambo yatakuwa supa .
da!siku nyingi sijatembelea blog yako charahani...sitapotea tena...
karibu saaaana ndugu yangu maisha nipo hapa
Nashukuru sasa yamekuwa hivi bado mko pamoja na Express au?
Hapana Mzee Mwananchi ni Mwananchi tu . Ile ya zamani lilinunuliwa jina na sasa ni kampuni inayojitegemea inaitwa mwananchi communications LTD iko Tabata relini ni subsidiary ya Nation Media Group
Post a Comment