Wednesday, September 13, 2006
Hayawi hayawi sasa yamekuwa
Nasema kumekucha jogoo limekwishawika huku mwananchi tumeshaingia hewani jamani, kwa habari za kitaifa, kimataifa, biashara na michezo na makala zilizosadifiwa na kuandikwa na watu wenye fikrapevu, wenye upeo mpana sana katika maisha ya jamii ya kitanzania unaweza kutupata kwa kubonya hapa tupo katika majaribio na tutaanza rasmi muda si mrefu!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT.MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON FUMBA, AANGALIA MAENDELEO YA UWANJA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi , leo Aprili 14, 2026, ameandika historia mpya baada ya kukagua ma...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
6 comments:
Kaka,
Naona bado mambo hayajatulia au webmaster analeta gozigozi.Bado sijaweza kufungua hiki kiungo muhimu kwenye ulimwengu wa habari.
ni kweli kaka Jeff huyu webmaster jana kachomoa gazeti mtandaoni akidai eti bado lakini nadhani kuanzia Jumatatu mambo yatakuwa supa .
da!siku nyingi sijatembelea blog yako charahani...sitapotea tena...
karibu saaaana ndugu yangu maisha nipo hapa
Nashukuru sasa yamekuwa hivi bado mko pamoja na Express au?
Hapana Mzee Mwananchi ni Mwananchi tu . Ile ya zamani lilinunuliwa jina na sasa ni kampuni inayojitegemea inaitwa mwananchi communications LTD iko Tabata relini ni subsidiary ya Nation Media Group
Post a Comment