Saturday, May 27, 2006
Huyu naye vipi kaingia kijijini hivi hivi tu
Kumekucha tena wanakijiji wenzangu sasa kuna kitu kipya chenye mambo kibao, ambayo bila shaka yana faida kuwa kwetu sote, blogu hii imeingia kistaili yake na bila shaka mtakubaliana nami kwamba sasa tunasonga mbele katika haya masuala ya teknolojia. Ukitaka mambo mapya hebu bonya hapa . Kwa huyu kwa taratibu zetu za hapa kijijini unaweza kugonga kuomba chumvi, kibiriti na hata mshumaa kama umechacha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao mu...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
kaka huyu mchizi umem,fuma kweli kweli mwambie avalie njuga uwanja wa picha ili tuwe na wakina Michuzi wengi pia nimetazama picha zake safi saa pia anastahili heko. Nitampitia baadaye kumsalimu na ikibidi nami kumrusha na kutanga za magazeti tandokibao ambayo yamefika kwangu na sijapata muda wa kuyaweka hewani.
Post a Comment