Saturday, May 27, 2006
Huyu naye vipi kaingia kijijini hivi hivi tu
Kumekucha tena wanakijiji wenzangu sasa kuna kitu kipya chenye mambo kibao, ambayo bila shaka yana faida kuwa kwetu sote, blogu hii imeingia kistaili yake na bila shaka mtakubaliana nami kwamba sasa tunasonga mbele katika haya masuala ya teknolojia. Ukitaka mambo mapya hebu bonya hapa . Kwa huyu kwa taratibu zetu za hapa kijijini unaweza kugonga kuomba chumvi, kibiriti na hata mshumaa kama umechacha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
*KAMISHNA KUJI AKAGUA ENEO LA KOGATENDE SERENGETI ASISITIZA MAAFISA NA ASKARI UHIFADHI KUENDELEA KUSIMAMIA SHERIA ZA HIFADHI ILI KUIMARISHA SHUGHULI ZA UTALII
Na. Philipo Hassan - Serengeti Kamishna wa Uhifadhi, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) CPA Musa Nassoro Kuji, leo Julai 24, 2025...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
1 comment:
kaka huyu mchizi umem,fuma kweli kweli mwambie avalie njuga uwanja wa picha ili tuwe na wakina Michuzi wengi pia nimetazama picha zake safi saa pia anastahili heko. Nitampitia baadaye kumsalimu na ikibidi nami kumrusha na kutanga za magazeti tandokibao ambayo yamefika kwangu na sijapata muda wa kuyaweka hewani.
Post a Comment