Saturday, May 27, 2006

Huyu naye vipi kaingia kijijini hivi hivi tu

Kumekucha tena wanakijiji wenzangu sasa kuna kitu kipya chenye mambo kibao, ambayo bila shaka yana faida kuwa kwetu sote, blogu hii imeingia kistaili yake na bila shaka mtakubaliana nami kwamba sasa tunasonga mbele katika haya masuala ya teknolojia. Ukitaka mambo mapya hebu bonya hapa . Kwa huyu kwa taratibu zetu za hapa kijijini unaweza kugonga kuomba chumvi, kibiriti na hata mshumaa kama umechacha.

1 comment:

boniphace said...

kaka huyu mchizi umem,fuma kweli kweli mwambie avalie njuga uwanja wa picha ili tuwe na wakina Michuzi wengi pia nimetazama picha zake safi saa pia anastahili heko. Nitampitia baadaye kumsalimu na ikibidi nami kumrusha na kutanga za magazeti tandokibao ambayo yamefika kwangu na sijapata muda wa kuyaweka hewani.

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...