Friday, May 02, 2025

HOTUBA BAJETI YA WIZARA YA MADINI 2025/26 💼🔥






















Watendaji, watumishi, wageni, wananchi na wadau mbalimbali wa Sekta ya Madini wamewasili katika Viwanja vya Bunge,  Jijini Dodoma kwa ajili ya kufuatilia Uwasilishaji wa Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2025/2026 unaowasilishwa na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde,  leo Mei 2, 2025

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...