Mkuu wa Kanda ya Kati wa Vodacom Tanzania Plc, Joseph Sayi (Kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 20 kwa mshindi wa mwezi wa kampeni ya Ni Balaa! Amina Gwila mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha Tawi la Dodoma mwishoni mwa wiki katika hafla iliyofanyika duka la Vodacom jijini Dodoma. Amina amepata nafasi ya kuchagua shule ambayo Vodacom watasaidia kukarabati maktaba yake ili kukamilisha adhma ya kusaidiana na Serikali katika kuboresha elimu nchini.Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Plc Mkoa wa Dodoma, Balikulije Mchome (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi 500,000/- mshindi wa droo ya sita wa kampeni ya Ni Balaa! Kila mtu ni mshindi, bw. Peter Sheka katika duka la Vodacom lililopo jijini Dodoma mwishoni mwa wiki. Endelea miamala kupitia M-pesa nawe uwe mshindi.Afisa wa M-Pesa kutoka Vodacom Tanzania Plc, Mkoa wa Dodoma, Musa Kushoka (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi 500,000/- kwa mshindi wa droo ya sita ya kampeni ya Ni Balaa! Kila mtu ni mshindi, bw. Felician Mgimba (Kulia) katika hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi iliyofanyika jijini Dodoma mwishoni mwa wiki. Endelea kufanya miamala na kununua vifurushi ili uweze kuibuka mshindi.Afisa Mauzo wa Vodacom Tanzania Plc mkoa wa Dodoma, Athumani Ngoma (kushoto) akimkabidhi mshindi wa wiki ya sita wa kampeni ya Ni Balaa! Kila mtu ni mshindi, Angel Bahingali (Kulia) mfano wa hundi ya shilingi 500,000/- katika duka la Vodacom lililopo jijini Dodoma mwishoni mwa mwiki Endelea kufanya miamala na kununua vifurushi kupitia M-pesa ili uweze kuibuka mshindi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027
Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment