Waziri wa Fedha. Mhe Dkt. Mwigulu Lamewck Nchemba Madelu (Mb),
akihutubia, kwa niaba ya Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa
Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu la Afrika Taasisi ambayo
Tanzania ni mwanachama, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha
Ivato, mjini Antananarivo nchini Madagascar. Mkutano ulioangazia masuala
ya ujenzi na ufadhili wa miundombinu pamoja na matumizi ya nishati safi
ya kupikia.Waziri wa Fedha. Mhe Dkt. Mwigulu Lamewck Nchemba Madelu (Mb),
Akiimba Wimbo wa taifa la Madagascar, alipomwakilisha Mhe. Rais, Dkt.
Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika
Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la
Miundombinu la Afrika Taasisi ambayo Tanzania ni mwanachama, katika
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Ivato, mjini Antananarivo nchini
Madagascar. Mkutano ulioangazia masuala ya ujenzi na ufadhili wa
miundombinu pamoja na matumizi ya nishati safi ya kupikia.
Waziri wa Fedha. Mhe Dkt. Mwigulu Lamewck Nchemba Madelu (Mb)
(kushoto) akiwa na Rais wa Madagascar, Mhe. Andry Rojaelina (katikati)
na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Africa50, ambaye pia
ni Rais wa Benki ya Maendeleo ya Africa (AfDB), Dkt. Akwinumi Adesina
baada ya Rais huyo kufungua rasmi Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa
Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu la Afrika Taasisi ambayo
Tanzania ni mwanachama, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha
Ivato, mjini Antananarivo nchini Madagascar. Mkutano ulioangazia masuala
ya ujenzi na ufadhili wa miundombinu pamoja na matumizi ya nishati safi
ya kupikia. Mhe. Dkt. Nchemba, alipomwakilisha Mhe. Rais, Dkt. Samia
Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano
huo (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha,
Antananarivo, Madagascar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SERIKALI YAWATAKA WAKUU WA TAASISI ZA UMMA KUTENGENEZA MAZINGIRA RAFIKI YA KAZI
Kibaha, Pwani. Serikali imewataka wakuu wa taasisi za umma kutengeneza mazingira rafiki ya kazi yatakayowawezesha watumishi kuongeza tija na...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment