Waziri wa Fedha. Mhe Dkt. Mwigulu Lamewck Nchemba Madelu (Mb),
akihutubia, kwa niaba ya Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa
Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu la Afrika Taasisi ambayo
Tanzania ni mwanachama, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha
Ivato, mjini Antananarivo nchini Madagascar. Mkutano ulioangazia masuala
ya ujenzi na ufadhili wa miundombinu pamoja na matumizi ya nishati safi
ya kupikia.Waziri wa Fedha. Mhe Dkt. Mwigulu Lamewck Nchemba Madelu (Mb),
Akiimba Wimbo wa taifa la Madagascar, alipomwakilisha Mhe. Rais, Dkt.
Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika
Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la
Miundombinu la Afrika Taasisi ambayo Tanzania ni mwanachama, katika
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Ivato, mjini Antananarivo nchini
Madagascar. Mkutano ulioangazia masuala ya ujenzi na ufadhili wa
miundombinu pamoja na matumizi ya nishati safi ya kupikia.
Waziri wa Fedha. Mhe Dkt. Mwigulu Lamewck Nchemba Madelu (Mb)
(kushoto) akiwa na Rais wa Madagascar, Mhe. Andry Rojaelina (katikati)
na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Africa50, ambaye pia
ni Rais wa Benki ya Maendeleo ya Africa (AfDB), Dkt. Akwinumi Adesina
baada ya Rais huyo kufungua rasmi Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa
Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu la Afrika Taasisi ambayo
Tanzania ni mwanachama, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha
Ivato, mjini Antananarivo nchini Madagascar. Mkutano ulioangazia masuala
ya ujenzi na ufadhili wa miundombinu pamoja na matumizi ya nishati safi
ya kupikia. Mhe. Dkt. Nchemba, alipomwakilisha Mhe. Rais, Dkt. Samia
Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano
huo (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha,
Antananarivo, Madagascar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...



No comments:
Post a Comment