Waziri wa Fedha. Mhe Dkt. Mwigulu Lamewck Nchemba Madelu (Mb),
akihutubia, kwa niaba ya Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa
Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu la Afrika Taasisi ambayo
Tanzania ni mwanachama, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha
Ivato, mjini Antananarivo nchini Madagascar. Mkutano ulioangazia masuala
ya ujenzi na ufadhili wa miundombinu pamoja na matumizi ya nishati safi
ya kupikia.Waziri wa Fedha. Mhe Dkt. Mwigulu Lamewck Nchemba Madelu (Mb),
Akiimba Wimbo wa taifa la Madagascar, alipomwakilisha Mhe. Rais, Dkt.
Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika
Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la
Miundombinu la Afrika Taasisi ambayo Tanzania ni mwanachama, katika
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Ivato, mjini Antananarivo nchini
Madagascar. Mkutano ulioangazia masuala ya ujenzi na ufadhili wa
miundombinu pamoja na matumizi ya nishati safi ya kupikia.
Waziri wa Fedha. Mhe Dkt. Mwigulu Lamewck Nchemba Madelu (Mb)
(kushoto) akiwa na Rais wa Madagascar, Mhe. Andry Rojaelina (katikati)
na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Africa50, ambaye pia
ni Rais wa Benki ya Maendeleo ya Africa (AfDB), Dkt. Akwinumi Adesina
baada ya Rais huyo kufungua rasmi Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa
Taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu la Afrika Taasisi ambayo
Tanzania ni mwanachama, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha
Ivato, mjini Antananarivo nchini Madagascar. Mkutano ulioangazia masuala
ya ujenzi na ufadhili wa miundombinu pamoja na matumizi ya nishati safi
ya kupikia. Mhe. Dkt. Nchemba, alipomwakilisha Mhe. Rais, Dkt. Samia
Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano
huo (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha,
Antananarivo, Madagascar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Waziri Mkuu azindua boti mbili za doria na uokozi
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke w...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...



No comments:
Post a Comment