Friday, September 20, 2024
BENKI YA ACB WANAKUAMBIA “TUPO MTAANI KWAKO”
Tumezindua rasmi program yetu ya TUPO MTAANI KWAKO kupitia timu
yetu bobezi ya mauzo. Sasa tunakufikia popote ulipo kupitia timu yetu ya
mauzo kupata huduma zetu za kufungua akaunti , elimu ya mikopo pamoja
na jinsi ya kutumia huduma zetu za kidijitali za VISA card, ACB Mobile,
Akiba Wakala na Internet Banking. Program hiyo inaenda sambamba na kampeni ya Road show ya kutoa
utambulisho kwa timu ya “Tupo Mtaani kwako” katika vitongoji na mitaa
mbali mbali ya jiji la DSM Tupo Mtaani kwako, tukileta huduma kwa urahisi zaidi!Kaimu Afisa Mkuu wa Kitengo Biashara Bw: Danford Muyango
akizindua rasmi kampeni ya “Tupo Mtaani Kwako” katika tawi la
Kijitonyama, Letsya TowerBaadhi ya Wafanyakazi wa ACB walioshirika katika uzinduzi wa program ya “Tupo Mtaani Kwako”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment