Friday, September 20, 2024
BENKI YA ACB WANAKUAMBIA “TUPO MTAANI KWAKO”
Tumezindua rasmi program yetu ya TUPO MTAANI KWAKO kupitia timu
yetu bobezi ya mauzo. Sasa tunakufikia popote ulipo kupitia timu yetu ya
mauzo kupata huduma zetu za kufungua akaunti , elimu ya mikopo pamoja
na jinsi ya kutumia huduma zetu za kidijitali za VISA card, ACB Mobile,
Akiba Wakala na Internet Banking. Program hiyo inaenda sambamba na kampeni ya Road show ya kutoa
utambulisho kwa timu ya “Tupo Mtaani kwako” katika vitongoji na mitaa
mbali mbali ya jiji la DSM Tupo Mtaani kwako, tukileta huduma kwa urahisi zaidi!Kaimu Afisa Mkuu wa Kitengo Biashara Bw: Danford Muyango
akizindua rasmi kampeni ya “Tupo Mtaani Kwako” katika tawi la
Kijitonyama, Letsya TowerBaadhi ya Wafanyakazi wa ACB walioshirika katika uzinduzi wa program ya “Tupo Mtaani Kwako”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Waziri Mkuu azindua boti mbili za doria na uokozi
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke w...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...



No comments:
Post a Comment