Friday, September 20, 2024
BENKI YA ACB WANAKUAMBIA “TUPO MTAANI KWAKO”
Tumezindua rasmi program yetu ya TUPO MTAANI KWAKO kupitia timu
yetu bobezi ya mauzo. Sasa tunakufikia popote ulipo kupitia timu yetu ya
mauzo kupata huduma zetu za kufungua akaunti , elimu ya mikopo pamoja
na jinsi ya kutumia huduma zetu za kidijitali za VISA card, ACB Mobile,
Akiba Wakala na Internet Banking. Program hiyo inaenda sambamba na kampeni ya Road show ya kutoa
utambulisho kwa timu ya “Tupo Mtaani kwako” katika vitongoji na mitaa
mbali mbali ya jiji la DSM Tupo Mtaani kwako, tukileta huduma kwa urahisi zaidi!Kaimu Afisa Mkuu wa Kitengo Biashara Bw: Danford Muyango
akizindua rasmi kampeni ya “Tupo Mtaani Kwako” katika tawi la
Kijitonyama, Letsya TowerBaadhi ya Wafanyakazi wa ACB walioshirika katika uzinduzi wa program ya “Tupo Mtaani Kwako”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴HIFADHI YA MPANGA-KIPENGERE YAENDELEA KUWA LULU YA VIZAZI VIJAVYO
📍Wanafunzi wa Nyanda za Juu Kusini Wapiga Kambi Kujifunza na Kutali Na Beatus Maganja, Njombe. Wahenga walioshiba tunu za uhifadhi na ut...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...



No comments:
Post a Comment