Tuesday, July 18, 2006

Ruaha Mkuu umekauka



Pichani unaweza kuona mawe yaliyochomoza yaliyokuwa mapito ya maji ya mto Ruaha Mkuu, Iringa. Mto huu unazidi kupungua sijui kama mgao wa umeme utakwisha picha hii ni ya Julai 16.

Madhari kavu



Tandala sio mbali na ilipo Ruaha National Park, huku ni wanyama tu. Zote hizi tunazo bado tunalia umasikini.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...