Tuesday, July 18, 2006

Ruaha Mkuu umekauka



Pichani unaweza kuona mawe yaliyochomoza yaliyokuwa mapito ya maji ya mto Ruaha Mkuu, Iringa. Mto huu unazidi kupungua sijui kama mgao wa umeme utakwisha picha hii ni ya Julai 16.

Madhari kavu



Tandala sio mbali na ilipo Ruaha National Park, huku ni wanyama tu. Zote hizi tunazo bado tunalia umasikini.

No comments:

  Leo Tarehe 29 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Said Shaib Mussa am...