Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba Mkoa wa Singida leo wametekeleza wito wa kufanya matembezi uliotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Dk. Maulidi Banyani, pichani Wafanyakazi hao wa NHC Singida wakiendelea na zoezi la viungo baada ya 5km. Baada ya hapo walipanda miti katika eneo la Unyakumi.
Saturday, January 26, 2019
NHC SINGIDA WAFANYA MATEMBEZI NA KISHA KUPANDA MITI ENEO LA UNYAKUMI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI
Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...







No comments:
Post a Comment