Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba Mkoa wa Singida leo wametekeleza wito wa kufanya matembezi uliotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Dk. Maulidi Banyani, pichani Wafanyakazi hao wa NHC Singida wakiendelea na zoezi la viungo baada ya 5km. Baada ya hapo walipanda miti katika eneo la Unyakumi.
Saturday, January 26, 2019
NHC SINGIDA WAFANYA MATEMBEZI NA KISHA KUPANDA MITI ENEO LA UNYAKUMI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...







No comments:
Post a Comment