Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba Mkoa wa Singida leo wametekeleza wito wa kufanya matembezi uliotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Dk. Maulidi Banyani, pichani Wafanyakazi hao wa NHC Singida wakiendelea na zoezi la viungo baada ya 5km. Baada ya hapo walipanda miti katika eneo la Unyakumi.
Saturday, January 26, 2019
NHC SINGIDA WAFANYA MATEMBEZI NA KISHA KUPANDA MITI ENEO LA UNYAKUMI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba
Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment