Tuesday, October 02, 2018

NHC LINDI WAFANYA TAFRIJA FUPI KUMUAGA MSTAAFU MAMA ASHA MWAMBA

 Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Lindi, Gibson Mwaigomole akimkabidhi bahasha ya zawadi kutoka kwa wafanyakazi wa Lindi, Mstaafu Mama Asha Mwamba ambaye amestaafu rasmi utumishi wa umma Septemba, 2018. Sherehe ya kumuaga Mama huyo ilifanyika mjini Lindi.
 Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Lindi, Gibson Mwaigomole akimkabidhi bahasha ya zawadi kutoka kwa wafanyakazi wa Lindi, Mstaafu Mama Asha Mwamba ambaye amestaafu rasmi utumishi wa umma Septemba, 2018. Sherehe ya kumuaga Mama huyo ilifanyika mjini Lindi.
 Sherehe fupi ya kumuaga Mama Mwamba ikiendelea ambapo kulikuwa na viburudisho vya vyakula na vinywaji vya kutosha.
  Sherehe fupi ya kumuaga Mama Mwamba ikiendelea ambapo kulikuwa na viburudisho vya vyakula na vinywaji vya kutosha.


No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...