Tuesday, October 02, 2018

NHC LINDI WAFANYA TAFRIJA FUPI KUMUAGA MSTAAFU MAMA ASHA MWAMBA

 Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Lindi, Gibson Mwaigomole akimkabidhi bahasha ya zawadi kutoka kwa wafanyakazi wa Lindi, Mstaafu Mama Asha Mwamba ambaye amestaafu rasmi utumishi wa umma Septemba, 2018. Sherehe ya kumuaga Mama huyo ilifanyika mjini Lindi.
 Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Lindi, Gibson Mwaigomole akimkabidhi bahasha ya zawadi kutoka kwa wafanyakazi wa Lindi, Mstaafu Mama Asha Mwamba ambaye amestaafu rasmi utumishi wa umma Septemba, 2018. Sherehe ya kumuaga Mama huyo ilifanyika mjini Lindi.
 Sherehe fupi ya kumuaga Mama Mwamba ikiendelea ambapo kulikuwa na viburudisho vya vyakula na vinywaji vya kutosha.
  Sherehe fupi ya kumuaga Mama Mwamba ikiendelea ambapo kulikuwa na viburudisho vya vyakula na vinywaji vya kutosha.


No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...