Meneja mstaafu wa NHC, Mkoa wa Kilimanjaro Shehe Salum Kombo akifurahia zawadi ya gitaa aliliopewa katika sherehe ya kumuaga rasmi iliyofanyika ijumaa iliyopita mjini Moshi.
Kaimu Meneja NHC Mkoa wa Kilimanjaro Stanley Msofe akitoa neno katika sherehe ya kuwaaga wastaafu ndh Shehe Kombo na Margareth Kimario. Watumishi hawa walistaafu utumishi mwezi June na Julai mwaka huu.Kaimu Meneja wa NHC, Mkoa Kilimanjaro Stanely Msoffe akikabidhi zawadi ya Gitaa kwa Meneja mstaafu wa mkoa wa Kilimanjaro Shehe Salum Kombo.

Mstaafu Margareth Kimario akisindikizws na wafanyakazi wa Mkoa Kilimanjaro kwenda kupokea zawadi yake. Mama Shoo alipewa zawadi ya vyombo vya nyumbani na vitenge.
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa Kilimanjaro wakishiriki katika tukio hilo.
Baadhi ya watumishi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakifurahia tukio la kuwaaga wastaafu. Tukio hili lilifanyika ktk ukumbi ulioko ofisi za mkoa.
Meneja mstaafu wa NHC Mkoa wa Kilimanjaro Shehe Salum Kombo akifurahia zawadi ya gitaa aliliopewa katika sherehe ya kumuaga rasmi iliyofanyika ijumaa iliyopita mjini Moshi.
No comments:
Post a Comment