Monday, October 01, 2018

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA ARDHI AFANYA ZIARA MRADI WA BUSWELU

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza akiongozana na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John wakati Kiongozi huyo alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akishuhudia jambo wakati akifanya ziara kwenye mradi wa Nyumba za Makazi wa Buswelu Mwanza, kushoto kwake ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John, alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 
Baadhi ya Nymba za mradi wa Nyumba za Makazi wa Buswelu Mwanza zinavyoonekana sasa.
 Baadhi ya Nymba za mradi wa Nyumba za Makazi wa Buswelu Mwanza zinavyoonekana sasa.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza.

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza akiongozana na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John wakati Kiongozi huyo alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza akiongozana na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John wakati Kiongozi huyo alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 

No comments:

*KAMISHNA KUJI AKAGUA ENEO LA KOGATENDE SERENGETI ASISITIZA MAAFISA NA ASKARI UHIFADHI KUENDELEA KUSIMAMIA SHERIA ZA HIFADHI ILI KUIMARISHA SHUGHULI ZA UTALII

Na. Philipo Hassan - Serengeti Kamishna wa Uhifadhi, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) CPA Musa Nassoro Kuji, leo Julai 24, 2025...