Monday, October 01, 2018

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA ARDHI AFANYA ZIARA MRADI WA BUSWELU

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza akiongozana na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John wakati Kiongozi huyo alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akishuhudia jambo wakati akifanya ziara kwenye mradi wa Nyumba za Makazi wa Buswelu Mwanza, kushoto kwake ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John, alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 
Baadhi ya Nymba za mradi wa Nyumba za Makazi wa Buswelu Mwanza zinavyoonekana sasa.
 Baadhi ya Nymba za mradi wa Nyumba za Makazi wa Buswelu Mwanza zinavyoonekana sasa.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza.

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza akiongozana na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John wakati Kiongozi huyo alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza akiongozana na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John wakati Kiongozi huyo alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 

No comments:

TARURA MUSOMA WAPONGEZWA UJENZI WA MIRADI KULINGANA NA THAMANI YA FEDHA

  Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Ndugu Ismail Ali Ussi amewapongeza wafanyakazi wa TARURA wilaya ya Musoma kwa kufanya kazi kwa weledi n...