Monday, October 01, 2018

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA ARDHI AFANYA ZIARA MRADI WA BUSWELU

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza akiongozana na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John wakati Kiongozi huyo alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akishuhudia jambo wakati akifanya ziara kwenye mradi wa Nyumba za Makazi wa Buswelu Mwanza, kushoto kwake ni Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John, alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 
Baadhi ya Nymba za mradi wa Nyumba za Makazi wa Buswelu Mwanza zinavyoonekana sasa.
 Baadhi ya Nymba za mradi wa Nyumba za Makazi wa Buswelu Mwanza zinavyoonekana sasa.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza.

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza akiongozana na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John wakati Kiongozi huyo alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu  akitembelea mradi wa nyumba za Makazi Buswelu NHC Mwanza akiongozana na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mwanza Joseph John wakati Kiongozi huyo alipotembelea mradi huo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. 

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...