Saturday, October 15, 2011

HAJI RAMADHANI AKWAA USHINDI BSS, ANYAKUA MILIONI 40



Mshindi wa shindano la Bongo Star Search Second Chance 2011, Haji Ramadhani (katikati), akipunga mkono kwa mashabiki zake mara baada ya kutangazwa mshindi kwenye kinyang'anyiro hicho (kushoto), ni Mratibu wa mashindano hayo Rita Paulsen 'Madame Rita' akiwa katika pozi mara baada ya kumtangaza mshindi huyo, kulia ni mwakilishi kutoka Tigo ambao walikuwa wadhamini wakuu wa shindano hilo.
Habari na picha zaidi hebu cheki hapo chini
http://uniqueentertz.blogspot.com/2011/10/haji-ramadhani-ndiye-mshindi-bss.html

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...