Saturday, October 15, 2011

HAJI RAMADHANI AKWAA USHINDI BSS, ANYAKUA MILIONI 40



Mshindi wa shindano la Bongo Star Search Second Chance 2011, Haji Ramadhani (katikati), akipunga mkono kwa mashabiki zake mara baada ya kutangazwa mshindi kwenye kinyang'anyiro hicho (kushoto), ni Mratibu wa mashindano hayo Rita Paulsen 'Madame Rita' akiwa katika pozi mara baada ya kumtangaza mshindi huyo, kulia ni mwakilishi kutoka Tigo ambao walikuwa wadhamini wakuu wa shindano hilo.
Habari na picha zaidi hebu cheki hapo chini
http://uniqueentertz.blogspot.com/2011/10/haji-ramadhani-ndiye-mshindi-bss.html

No comments:

WAZIRI KABUDI AKUTANA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA MADOLA LONDON, UINGEREZA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Palamagamba Kabudi, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Commonwealth of Nations, Shirley Botc...