Monday, May 30, 2011

Uvunaji haramu wa magogo


Sehemu ya shehena ya magogo ambayo yalikamatwa kutoka kwa wavuanji haramu yakiwa nje ya ofisi ya misitu wilayani Geita.

Miti mbalimbali ikionekana kuwa imevunwa na wavunaji haramu ambao baada ya kukurupushwa na Doria walikimbia na kuiacha katika Msitu wa hifadhi wa Geita wilayani Geita mkoani Mwanza.

Wilaya ya Geita ambayo imepandishwa hadhi ya kuwa mkoa sasa ni miongoni mwa Wialaya zenye misitu ya hifadhi yenye jumla ya Hekta 81,922.1, lakini hekta hizo za misitu zipo katika hatari kubwa ya kutoweka kutokana na kukumbwa na uvunaji haramu ambao umekuwa ukiendelea ndani ya wilaya hiyo ya Geita.

Jitihada za kupambana na uvunaji huo haramu na mambo yanayokwamisha zoezi hilo kufanyika kwa ufanisi.

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Aungana na Waombolezaji Chato Katika Ibada ya Kumuaga Mama wa Hayati Dkt. John Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumu...