Monday, May 30, 2011

Uvunaji haramu wa magogo


Sehemu ya shehena ya magogo ambayo yalikamatwa kutoka kwa wavuanji haramu yakiwa nje ya ofisi ya misitu wilayani Geita.

Miti mbalimbali ikionekana kuwa imevunwa na wavunaji haramu ambao baada ya kukurupushwa na Doria walikimbia na kuiacha katika Msitu wa hifadhi wa Geita wilayani Geita mkoani Mwanza.

Wilaya ya Geita ambayo imepandishwa hadhi ya kuwa mkoa sasa ni miongoni mwa Wialaya zenye misitu ya hifadhi yenye jumla ya Hekta 81,922.1, lakini hekta hizo za misitu zipo katika hatari kubwa ya kutoweka kutokana na kukumbwa na uvunaji haramu ambao umekuwa ukiendelea ndani ya wilaya hiyo ya Geita.

Jitihada za kupambana na uvunaji huo haramu na mambo yanayokwamisha zoezi hilo kufanyika kwa ufanisi.

No comments:

RAIS SAMIA AMKARIBISHA RAIS WA NAMIBIA KATIKA ZIARA YA KITAIFA, WAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA NA MAENDELEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt....