Tuesday, May 24, 2011

maiti zatelekezwa Nyamongo



Jamani jamani hata kama maiti haina haki, hii si sawa hata kidogo, maiti zinasumbuliwa kwasababu ya kutafuta umaarufu wa kisiasa. I don't understand kwa kweli, watu wanang'ang'ana kila mmoja anavutia kwake kwanini msiihifadhi hii miili ya hawa binadamu wenzetu kisha mkaendelea na michezo yenu. Kwa hakiki hii ni hali mbaya na haikubaliki by any standards katika jamii yoyote iwe ya kitanzania na hata ili nje ya tanzania.
Hapa ndugu na jamaa wakiwa wamepigwa butwaa wasijue la kufanya baada ya maiti hao wanaonekana wakiwa wametelekezwa mitaani katika vijiji vya Bonchugu wilayani Serengeti leo hii ambako ilikutwa maiti ya Chawali Bhoke. Ni kitendo kibaya sana. Mungu atusaidie, hii hali inawasha kiberiti.

1 comment:

Anonymous said...

kiukweli inauma sana roho.. na si umaharufu tena ila ni uhadui kati ya mwananchi na jeshi la polisi.. nasema hivi,, kwa mipango ya jeshi la polisi kunyanyasa wananchi bila sababu kisa tu silaha wanazo.. waandike maumivu.. kwa mwananchi.. hata mimi imeshafikia kutowapenda polisi.. hawakuwekwa kwa ajili ya kunyasa wananchi ila ni kwa ajili ya kulinda raia na mali zao..Tarime si mara ya kwanza kuanza vurugu.. ni kwa sababu tu ya jeshi la polisi kuwa kero kwa mwananchi.. tanzania tumechoka..... kama vip kaka naomba unitembelee nipo magomeni hapa moroco.... tufanye ziara ya kwenda mkoa wa kilimanjaro.. utaona viwanda vinavyochemsha gongo.. lakini cha ajabu polisi wamekuwa wakila hongo.. je unataka kujua zaidi kuhusu wilaya kijiji.. tembelea www.mwangajamii.blogspot.com
simu namba 0655-015461 /0714449353 siogop mtu nasema ukweli....