Monday, May 30, 2011

Mdau wa Mwananchi afunga ndoa

Mdau msanifu wa gazeti la Mwananchi na Mwanaspoti (Fatuma) Elizabeth Mushi akiwa na mewe Enock Tambule baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Kijitonyama jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...