Monday, May 30, 2011

Mdau wa Mwananchi afunga ndoa

Mdau msanifu wa gazeti la Mwananchi na Mwanaspoti (Fatuma) Elizabeth Mushi akiwa na mewe Enock Tambule baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Kijitonyama jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

No comments:

VIONGOZI NA WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA IBADA YA KUMUOMBEA HAYATI JOB NDUGAI – KONGWA

KONGWA – Viongozi wa kitaifa, wa kidini, pamoja na mamia ya wananchi wa Wilaya ya Kongwa na maeneo mengine nchini wamejitokeza kwa wingi leo...