Monday, May 30, 2011

Mdau wa Mwananchi afunga ndoa

Mdau msanifu wa gazeti la Mwananchi na Mwanaspoti (Fatuma) Elizabeth Mushi akiwa na mewe Enock Tambule baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Kijitonyama jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...