Monday, May 30, 2011

Mdau wa Mwananchi afunga ndoa

Mdau msanifu wa gazeti la Mwananchi na Mwanaspoti (Fatuma) Elizabeth Mushi akiwa na mewe Enock Tambule baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Kijitonyama jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...