Tuesday, May 24, 2011

Miss Universe ziarani Mwananchi



Mhariri wa habari wa gazeti la The Citizen, Peter Nyanje akiwapa maelezo washiriki wa shindano la Miss Universe jinsi gazeti hilo linavyokusanya habari wakati washiriki hao walipotembelea ofisi za Mwananchi Communications Limited (MCL), Tabata jijini Dar es Salaam jana. MCL ni moja wa wadhamini wa shindano hilo. Picha na Edwin Mjwahuzi

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...