Tuesday, May 24, 2011

Miss Universe ziarani Mwananchi



Mhariri wa habari wa gazeti la The Citizen, Peter Nyanje akiwapa maelezo washiriki wa shindano la Miss Universe jinsi gazeti hilo linavyokusanya habari wakati washiriki hao walipotembelea ofisi za Mwananchi Communications Limited (MCL), Tabata jijini Dar es Salaam jana. MCL ni moja wa wadhamini wa shindano hilo. Picha na Edwin Mjwahuzi

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...