Tuesday, July 05, 2011

Diamond akitumbuaiza na bibie Wema Sepetu



Msanii wa bongo flava Diamond akitumbiza na muigizaji Wema Sapetu wakati wa tamasha la muziki la fiesta lililofanyika uwanja wa Jmahuri mkoani Morogoro juzi. Picha Juma Mtanda.

1 comment:

emu-three said...

Safi saana, imekaa vyema kama itakwenda vyema, twawatakia kila-laheri!

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...