Tuesday, July 05, 2011

Diamond akitumbuaiza na bibie Wema Sepetu



Msanii wa bongo flava Diamond akitumbiza na muigizaji Wema Sapetu wakati wa tamasha la muziki la fiesta lililofanyika uwanja wa Jmahuri mkoani Morogoro juzi. Picha Juma Mtanda.

1 comment:

emu-three said...

Safi saana, imekaa vyema kama itakwenda vyema, twawatakia kila-laheri!

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...