Tuesday, July 05, 2011

Diamond akitumbuaiza na bibie Wema Sepetu



Msanii wa bongo flava Diamond akitumbiza na muigizaji Wema Sapetu wakati wa tamasha la muziki la fiesta lililofanyika uwanja wa Jmahuri mkoani Morogoro juzi. Picha Juma Mtanda.

1 comment:

emu-three said...

Safi saana, imekaa vyema kama itakwenda vyema, twawatakia kila-laheri!

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...