HAIWEZEKANI kupuuza jitihada zote za serikali inazofanya kuwezesha kuanzishwa kwa chuo kikuu kipya kitakachowezesha kuchukua wanachuo 40,000 huko Dodoma.
Haiwezekani pia kusema kuwa eti serikali haikufanya jambo la maana kuweza kufikia uamuzi huu mzito ilhali sekta ya elimu ya juu imekuwa ikididimia.
Pia haiwezekani kupuuza jitihada zingine zozote za kujaribu kuonyesha nia njema japo kwa kauli tu kuanzisha vyuo vikuu vingi kadri inavyowezekana.
Lakini inawezekana kuhoji na vile vile kuwa na mashaka mengi hasa kama uamuzi huu unakuja wakati kile tulicho nacho kinatushinda na tena kinakaribia kutushinda kabisa.
Unaweza kusoma zaidi kwa kubonya hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
3 comments:
Cherehani!
Binafsi sipendi taifa liwe na wahatimu kwa jina tu bali uwezo wa kufikiri na kutenda kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu.
Suala la muhadhiri mmoja kufunza UDSM, MKWAWA na tena CHANG'OMBE ndio haswa linanichanganya. Hivi kweli huyu Dr/Prof ataifanya kazi yake kiufasaha? Hivi atapata muda wa kutosha kuzipitia kazi za wanafunzi wake? Hivi atapata muda wa kutosha kuonana na wanafunzi wake?
Nimeipenda mada yako kwani inatoa changamoto.
Zamani tulikuwa tukisema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Sidhani kama tunaweza kutumia kauli hii tena iwapo unakuwa na mfumo wa elimu (ujinga?) ambapo mhadhiri anafundisha UDSM, Mkwana, na Chang'ombe. Halafu bado anakuwa na kazi wanazoziita "consultancy" halafu anakuwa pia na NGO.
Hey very nice blog!
Also visit my web-site ... mobile website
Post a Comment