PANGA pangua. Hili huku, lile kule, chukua huyu hamisha peleka kule, yule weka hapa, mwingine fukuza, toa matamshi ya kila aina ya kutia matumaini ya ajabu na kisha mwisho wa siku mambo yanabaki kuwa yale yale na pengine mabaya zaidi.
Hii ndivyo ilivyo Tanzania yetu, kila anayekuja anakuja na lake, anajaribu kufanya majaribio na kisha anastukia muda wake umeisha basi anaondoka na kuiacha nchi ikiwa katika hali iliyo mbaya zaidi.
Serikali yetu ilianza kwa kujiunda Baraza lake la mawaziri ambalo lilikuwa kubwa kuliko yote tangu kupatikana kwa nchi hii, ukatolewa utetezi wa kila aina, lakini baadaye muda kidogo likapanguliwa. soma zaidi hapa kwa kubonya hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
2 comments:
Charahani,
mimi huwa napenda kusema kuwa nchi yetu inaongozwa kwa kauli mbiu. Kila anayekuja anakuja na kauli yake, kisha nchi nzima inaipokea na baadaye kuwa ni kama pambio fulani. Tunapumbazwa na kauli mbiu tupu.
ni kweli mzee hizi kauli mbiu wao wanadhani zinajenga kumbe zinabomoa hatuzitaki!
Post a Comment