Wednesday, November 22, 2006

Msafiri Kafiri



Wakazi wa wilaya ya Meatu, mkoani Sinyanga wakiwa safarini kuelekea kijiji cha Mwamalole kilichomo wilayani humo. Pichani wasafiri hao wanaonekana wakiwa wamelundikana katika gari moja lililosheheni baiskeli, mbao mabadi na wao kutokana na tatizo la usafiri. (Picha na Yahya Charahani)

1 comment:

John Mwaipopo said...

Hii na hiyo ya juu nilikuwaga sikuzipitiaga. Ni kali. Watu Ooh usafiri Dar es Salaam shida. Sasa pima mwenyewe.

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...