Wednesday, November 22, 2006

Msafiri Kafiri



Wakazi wa wilaya ya Meatu, mkoani Sinyanga wakiwa safarini kuelekea kijiji cha Mwamalole kilichomo wilayani humo. Pichani wasafiri hao wanaonekana wakiwa wamelundikana katika gari moja lililosheheni baiskeli, mbao mabadi na wao kutokana na tatizo la usafiri. (Picha na Yahya Charahani)

1 comment:

John Mwaipopo said...

Hii na hiyo ya juu nilikuwaga sikuzipitiaga. Ni kali. Watu Ooh usafiri Dar es Salaam shida. Sasa pima mwenyewe.

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...