Thursday, November 30, 2006

mkutano wa TED



Naibu Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Tuvako Manongi, New York, Marekani, akimsikiliza Mratibu na Msimamizi Mkuu wa Mkutano wa TED Afrika utakaofanyika Arusha Juni 4 hadi 7, Chris Anderson, katika hafla rasmi ya kutangaza kufanyika mkutano huo Arusha, Tanzania.

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...