Thursday, November 30, 2006

mkutano wa TED



Naibu Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Tuvako Manongi, New York, Marekani, akimsikiliza Mratibu na Msimamizi Mkuu wa Mkutano wa TED Afrika utakaofanyika Arusha Juni 4 hadi 7, Chris Anderson, katika hafla rasmi ya kutangaza kufanyika mkutano huo Arusha, Tanzania.

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...