Thursday, November 30, 2006

mkutano wa TED



Naibu Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Tuvako Manongi, New York, Marekani, akimsikiliza Mratibu na Msimamizi Mkuu wa Mkutano wa TED Afrika utakaofanyika Arusha Juni 4 hadi 7, Chris Anderson, katika hafla rasmi ya kutangaza kufanyika mkutano huo Arusha, Tanzania.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...