Thursday, November 30, 2006

mkutano wa TED



Naibu Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Tuvako Manongi, New York, Marekani, akimsikiliza Mratibu na Msimamizi Mkuu wa Mkutano wa TED Afrika utakaofanyika Arusha Juni 4 hadi 7, Chris Anderson, katika hafla rasmi ya kutangaza kufanyika mkutano huo Arusha, Tanzania.

No comments:

BALOZI CHANA ASHIRIKI URITHISHAJI KWA VITENDO KATIKA MAONESHO YA NANENANE

Dodoma, Agosti 4, 2025 – Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Balozi Pindi Chana, amefanya ziara maalum katika banda la Makumbusho ya T...