Wednesday, March 09, 2011

Siku ya wanawake duniani



Wanamuziki wa bendi za The African Stars na Msondo Ngoma baba ya muziki wakitumbuiza jana katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kuadhimisha miaka 100 inayofanyika kila mwaka March 8.


Siku ya Wanawake Duniani ilianza kuadhimishwa mwaka 1911 wakati makundi ya wanawake nchini Marekani yalipokusanyika na kupinga udhalilishaji, ukandamizaji, uonevu na ubaguzi wa kijinsia hususani sehemu za kazi. 


No comments:

Dkt. Samia Suluhu Hassan Awasilisha Fomu za Kugombea Urais 2025

  Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, a...