Wednesday, March 09, 2011

Siku ya wanawake duniani



Wanamuziki wa bendi za The African Stars na Msondo Ngoma baba ya muziki wakitumbuiza jana katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kuadhimisha miaka 100 inayofanyika kila mwaka March 8.


Siku ya Wanawake Duniani ilianza kuadhimishwa mwaka 1911 wakati makundi ya wanawake nchini Marekani yalipokusanyika na kupinga udhalilishaji, ukandamizaji, uonevu na ubaguzi wa kijinsia hususani sehemu za kazi. 


No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...