Sunday, March 13, 2011

Lema azitungia wimbo vurugu za Arusha


Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, alipoonyesha CD iliyobeba wimbo alioutunga kuelezea vurugu na vifo vya Arusha, kulia ni Katibu wa Kanda ya Kinondoni Chadema Henry Kilowo. Picha na Venance Nestory.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...