Monday, August 07, 2006

Kijijini kwetu ameingia kamanda

Haya wasomaji wangu katika pita pita yangu kule mitaaani nimekutana na blogu ya huyu mheshimiwa ikiwa imeanza kusheheni vitu vinavyopendeza, nikavutiwa siyo kwasababu ya kupita tu bali kwasababu najua nini hasa hazina aliyo nayo huyu mheshimiwa mkongwe katika fani, mwenye kushusha nondo zikashuka si mwingine bali ni Julius Samwel Magodi unaweza kumfikia kwa kubonya hapa

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...