Monday, August 07, 2006
Kijijini kwetu ameingia kamanda
Haya wasomaji wangu katika pita pita yangu kule mitaaani nimekutana na blogu ya huyu mheshimiwa ikiwa imeanza kusheheni vitu vinavyopendeza, nikavutiwa siyo kwasababu ya kupita tu bali kwasababu najua nini hasa hazina aliyo nayo huyu mheshimiwa mkongwe katika fani, mwenye kushusha nondo zikashuka si mwingine bali ni Julius Samwel Magodi unaweza kumfikia kwa kubonya hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment