Friday, June 09, 2006
Wamjua kijana mwenye fikra za kiuanamapinduzi
KILA kukicha teknolojia ya habari na mawasiliano inazidi kujipenyeza ndani ya jamii yetu na kwa hakika kuzidi kukineemesha kijiji chetu kilichokuwa na kaya chache sana, nyingi zikiwa mbalimbali mno. Lakini tofauti na mwaka jana na mwaka ulee sasa kijiji chetu kimesheheni miji mingine sasa ni mighorofa mikubwa jana katika pitapita yangu nimebahatika kupita katika kaya ya ndugu yangu wanamwita Steve Biko ni kijana machachari sana huyu katika masuala ya kuutetea uafrika na utanzania kwa ujumla, fikra zake ni za kiuanamapinduzi. Waweza bonya hapana kutazama nini alichoweka maana kama ujuavyo fikra za kiuanamapinduzi ni uanamapinduzi kweli!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUENDELEZA NISHATI YA JOTOARDHI; WAZIRI NDEJEMBI ALIELEZA BARAZA LA IRENA
📌Asisitiza ushirikiano wa taasisi za kifedha na Jumuiya za Kimataifa hasa katika hatua za utafiti 📌Akaribisha wawekezaji; Asema Serikali i...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment